top of page

MWANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA AJINYONGA BAADA YA KUNYANG'ANYWA SIMU NA KAKA YAKE..

Kutoka mkoani Mara Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza aliyekuwa anasoma Shule ya



Sekondari Sarungi, Wilayani Rorya amejinyonga kwa kamba ya katani chumbani kwake baada ya kudaiwa kutokea mzozo kati yake na kaka yake

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime, Mark Njera amesema

"Binti huyo mwenye umri wa miaka 15 alichukua uamuzi huo baada ya kunyang'anywa simu yake waliyokuwa wakiigombania na Kaka yake.

Baada ya kitendo hicho alikasirika na kwenda chumbani akachukua kamba ya katani, akaifunga kwenye kenchi na kujinyonga."

Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page