top of page

AY MELODY AACHIA ALBAMU MPYA "THERAPY" NYIMBO 14 NDANI...

Staa wa muziki wa Bongo Fleva Jay Melody anayefanya vyema sana kwa sasa ameachia albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la Therapy ambapo ina takribani nyimbo 14 ndani



yake. Siku chache zilizopita Melody alieza juu ya ujio wa albamu hiyo ambayo ametumia mwaka mzima kuitayarisha ambapo alisema

"I have been working on my album for a year now, na sasa niko tayari kwa dunia kuisikia

Siku zote nimekua na ndoto ya kufanya mziki mzuri zaidi, asante mungu kwa haya maarifa.

Album yangu ni tiba (therapy) when you hear it, it will make you feel good.

Can't wait to share the vibe with you guys Endelea ku enjoy mziki wa Jay"

Sasa albamu hiyo imetoka ikiwa na nyimbo zifuatazo



1. Bado frat Morissa, Karma, Ndelah Magic. Logic, Benson Hauzimi


2. Forever


3. Nahodha


4. Wapekee yangu


5. Usiniache feat Phina


6. Watu


7. Unanimaliza


8. Diamond


9. 18


10. Sielewi


11. Sio sawa


12. Siyawezi


13. Katika


14. Super star.

Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page