top of page

WATU 10 WAFARIKI BAADA YA MLIPUKO WA VOLCANO INDONESIA

Na Ramla Ramadhan


Takribani watu 10 wamefariki dunia baada ya kutokea kwa mlipuko wa volkeno mashariki mwa Indonesia Mlipuko huo umetokea katika Mlima Lewotobi Laki-laki uliopo kwenye Kisiwa cha Flores katika jimbo la Nusa Tenggara Mashariki saa 23:57 kwa majira ya huko


Kulingana na Kituo cha Kukabiliana na Volkeno na Maafa ya Kijiolojia Indonesia imesema kuwa lava na mawe ya moto yaliruka hadi katika vijiji vilivyo umbali wa kilomita 4 kutoka kwenye volkeno na kuteketeza na kuharibu vijiji saba na maeneo ya wakazi hao.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page