top of page

TYLA AWAPIGA CHINI WASANIIWA NIGERIA TUZO ZA GRAMMY



Kutoka Afrika Kusini hadi Marekani nyota wa muziki Tyla ameandika historia kwenye maisha yake kwa kushinda tuzo yake ya kwanza ya Grammy akiwa na umri wa miaka 22, Tyla ameshinda kipengele cha "Best African Music Performance" kupitia wimbo wake "Water" ambapo amewapiga chini mastaa kibao wa Nigeria Burna Boy, Asake, Ayra Starr na Davido.

Comentários


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page