top of page

RULANI MOKWENA ATANGAZWA KUWA KOCHA MPYA WA WYDAD


Klabu ya Wydad Athletic Club imemtambulisha kocha wa zamani wa Mamelod Sundowns



Rulani Mokwena kuwa kocha wao mkuu kwa mkataba wa miaka miwili.

Rulani anatua Wydad baada ya kumalizana na Mabingwa wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini na AFL Mamelodi Sundowns ambapo Wydad wameweka tumaini kubwa kwa kocha huyu kuhakikisha anarudisha heshima klabuni hapo.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page