top of page

RAIS SAMIA ATENGUA UTEUZI WA MKUU WA WILAYA LONGIDO.

Na VENANCE JOHN


Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa mkuu wa wilaya ya Longido Marko Henry Ng'umbi.


Taarifa ya utenguzi, iliyotolewa, haijaeleza nani ametuliwa kuchukua nafasi ya Ng'umbi wala taarifa haijaeleza kama atapangiwa kazi nyingine. Utenguzi huo unakuja ikiwa ni muda mfupi tangu kusambaa kwa picha jongefu (video) inayomwonesha mkuu huyo wa wilaya akizungumzia masuala ya uchanguzi wa mwaka 2020.


Comentarios


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page