top of page

MWANASIASA WA UPINZANI UGANDA BOBI WINE AKIMBIZWA HOSPITALI BAADA YA KUPIGWA RISASI NA POLISI

Na VENANCE JOHN


Robert Kyagulanyi Ssentamu maarufu kama Bobi Wine msanii ambaye pia ni mwanasiasa kijana amepigwa risasi na polisi baada yakutokea mvutano baina yake na polisi.


Msanii huyo ambaye ni kiongozi wa chama cha NUP amepigwa risasi kwenye mguu akiwa katika hali ya mvutano na polisi katika kijiji cha Bulindo nchini humo. Kiongozi juyo amekimbizwa hosipitali kwa ajili ya matibabu.


Mtu anayesimamia ukurasa wa mtandao wa X (twitter) wa Bobi Wine ndiye aliyetoa taarifa za mwanasiasa huyo kupigwa risasi ya mguu. Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote iliyotolewa na polisi kuhusu tukio hilo.


Comentários


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page