top of page

MWANAMITINDO NA MISS BOTSWANA MWAKA 2022 ATEULIWA KUWA WAZIRI WA VIJANA NA JINSIA

Na VENANCE JOHN


Anicia Gaothus binti wa miaka 26 ameteuliwa na rais wa Botswana, Bw.Duma Boko kuwa waziri wa vijana na mausala ya jinsia. Binti huyu ana taaluma ya sheria lakini pia anajishughulisha na masuala ya mitindo na ulimbwende. Anicia Gaothus mwaka 2022 alikuwa Miss Botswana.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page