top of page

"Mwalimu wa Hesabu Nipo Tunakata Pindi La Probability Hapa Karibu"Waziri Wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba


"Mwalimu wa Hesabu Nipo Tunakata Pindi La Probability Hapa Karibu"Waziri Wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba


Licha ya majukumu mengi ya kikazi ila linapokuja suala la malezi Waziri wa Fedha Mhe Dkt. Mwigulu Nchemba hana mchezo kabisa akiwa nyumbani hugeuka kuwa mwalimu na pindi linaendelea kama kawaida kupitia ukurasa wake wa Instagram amepost picha hizi na kuandika


"Kuelekea week end, Mwalimu wa Hesabu nipo. Hapa tunakata pindi la Probability! Karibu, lakini umechelewa kidogo-tumeshamaliza Algebra, Logarithm, Functions, Sequence & Series"

Commentaires


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page