top of page

MEYA WA ZAMANI UBUNGO BONIFACE JACOB ASHIKILIWA NA POLISI NA WALA HAJATEKWA.


Taarifa iliyotufikia mezani usiku huukutoka kwa Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime ametoa taarifa akikiri Polisi kumshikilia aliyewahi kuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob Mkazi wa Mbezi kwa Msakuzi Jijini Dares Salaam kutokana na makosa ya kijinai anayotuhumiwa nayo ambapo taarifa hiyo imesisitiza kuwa "Wananchi wapuuze uongo unaosambazwa mitandaoni kuwa ametekwa"

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page