top of page

JESHI LA ISRAEL LAUA WANAJESHI 3 NA RAIA MMOJA WA LEBANON

Na Ester Madeghe,


Wizara ya Afya ya Lebanon imesema mtu mmoja ameuawa, na kuwaacha wengine watano kujeruhiwa wakati Israeli ikifanya mashambulio 17 kwenye vitongoji vya kusini mwa Beirut usiku kucha, na kuharibu majengo sita katika uvamizi ambao ulianza bila onyo.


Afisa mmoja wa Lebanon alikuwa miongoni mwa wanajeshi watatu waliouawa katika shambulizi la Israel kusini mwa Bint Jbeil, jeshi la Lebanon limesema.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page