top of page

HARMONIZE AMPONGEZA ALIKIBA

KWA KUFUNGUA RADIO NA TV YAKE

Staa wa Bongo Fleva Harmonize amempongeza mwanamuziki Alikiba kwa kutimiza miaka 20



kwenye kiwanda cha muziki wa Bongo Fleva pamoja na kufungua kituo chake cha Radio pamoja na Televisheni.

Harmonize ametuma ujimbe huo wa pongezi kwa Kiba kupitia ukurasa wake wa Instagram upande wa Insta Story akipost Logo ya media hiyo huku akiandika "Another one Congrats 20 years".

留言


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page