top of page

BAADA YA CHRIS BROWN KUWAPOST




BAADA YA CHRIS BROWN KUWAPOST

WAZEE WA MAKOTI MISSO MISOND

LUDACRIS NAE AWAKUBALI AWAPOST

Wiki chache zilizopita staa wa muziki duniani Chris Brown kutoka Marekani alikoshwa na video ya Wazee wa Makoti wa Misso Misondo kiasi cha kuamua kuwapost kwenye ukurasa wake wa Instagram upande wa Insta Story

Sasa video hiyo imemfikia mkongwe mwingine wa Marekani Luda Chris kwani nae amewapost kupitia Instastory yake.

コメント


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page